Ni ugonjwa wa virusi ambukizi vinavyotokana na kuumwa na mdudu Mbu.
Ugonjwa huu hupatikana sehemu mbali mbali hasa bara la Afica, Ashia na India.
Dalili zake hufanan kwa ukaribu na Dengu na Zaki fever Kichwa kuuma , joto mwilini, kuwashwa na mwili, kuhisi
kuchoka,kuumwa na tumbo, maumivu ya ndani ya macho na pia maumivu ya viungo
mwili mzima.
MATIBABU
Matibabu haya yamelenga upunguzaji wa maumivu na kwa mara
nyingi wagonjwa hupona baada ya wiki moja ama hadi virusi vinapoisha mwilini.





Comments
Post a Comment